Friday, March 29, 2013

BREAKING NEWZZ .... JENGO LA GHOROFA 15 LAANGUKA

 


Taarifa lizizotufikia hivi punde zinasema kuna Jengo jipya lililokuwa linajengwa limeporomoka na kuangukia msikiti (kama inavyoonekana pichani) asubuhi hii mwendo wa saa mbili u nusu, katikati ya jiji la Dar es Salaam, inakadiriwa takribani watu 60 wamefariki dunia..

0 comments:

Post a Comment