FOR MORE INFORMATION ON.

ADVERTISING YOUR BUSINESS AND MARKETING !! CONTACT.+255 765 326 668

FOR MORE INFORMATION ON.

ADVERTISING YOUR BUSINESS AND MARKETING !! CONTACT.+255 765 326 668

FOR MORE INFORMATION ON.

ADVERTISING YOUR BUSINESS AND MARKETING !! CONTACT.+255 765 326 668

FOR MORE INFORMATION ON.

ADVERTISING YOUR BUSINESS AND MARKETING !! CONTACT.+255 765 326 668

FOR MORE INFORMATION ON.

ADVERTISING YOUR BUSINESS AND MARKETING !! CONTACT.+255 765 326 668

Tuesday, November 12, 2013

      click on the link and know on how u can make money                                                 http://MonthlyJobPay.com/?id=KADOMOLE

Monday, October 7, 2013

Profesa Tibaijuka achangia sh. mil. 46 ujenzi kanisa Katoliki Kitunda



WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amechanga sh. Mil. 46 kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Kitunda, Jimbo Kuu la Dar es Salaam.

Profesa Tibaijuka aliyekuwa mgeni rasmi katika harambee hiyo, Rais wa Awamu ya Tatu, Wiliam Benjamin Mkapa ambaye hakuwepo katika harambee hiyo alichangia sh. Mil. moja katika ya sh. mil. 95 zilizochangwa.

Katika harambee hiyo ambayo jiwe la msingi liliwekwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Policarp Kardinali Pengo aliyewakilishwa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Padri Raymond Sabba, Profesa Profesa Tibaijuka alimsifu Askofu Pengo kuhamasisha ujenzi wa makanisa ya kisasa na kuongeza huduma za kiroho kwa waumini kufikia parokia 79 za Jimbo la Kuu la Dar es Salaam.

Waziri alisema Serikali inafarijika kuona watanzania wanaishi maisha yenye utulivu na kuwapongeza viongozi wa dini kuendelea kutoa huduma za kiroho kwa waumini wao.

Alisema miji mingi duniani imeendelea kutokana na wananchi wake kuwa na nidhamu na kuongeza kuwa ongezeko la ukuaji wa kasi wa miji mingi hapa nchini ni changamoto kwa wizara yake kuhakikisha upimaji unafanyika.

Kanisa la Kitunda litakalogharimu sh. Bil. 1.5 mpaka litakapokamilika katika risala yao iliyosomwa na katibu wa Baraza la Walei Parokia ya Kitunda, Bw. Simon Nguka ilisema wanakabiliwa na changamoto nyingi mojawapo ni urasimu wakati wanafuatilia hati miliki ya eneo la kanisa hilo.

Profesa Tibaijuka alisifu ukubwa wa kanisa hilo na ramani yao ya kisasa na kuahidi kuwa upimaji wa nyumba za wakazi wa eneo hilo utaanza karibuni na kuwaomba wanananchi watoe ushirikiano kazi hiyo itakapokuwa imeanza.

Alisema upimaji utakapoanza kama kuna nyumba za kuabudia zitakuwa zinahitajika kuongezewa eneo wananchi wa nyumba jirani watoe ushirikiano wa kupisha maeneo hayo.

Katika mahubiri ya Padri Sabba aliyeongoza ibada ya misa takatifu aliwaomba waumini wa Parokia ya Kitunda kujitoa kwa hali na mali kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa kanisa hilo.

mwisho

Friday, June 14, 2013

DEATH IS LIFE’S GREATEST MYSTERY…WHAT HAPPENS WHEN OUR SOUL LEAVES OUR BODY IS THE MOST IMPORTANT QUESTION IN THE WORLD.THE ANSWER WILL AFFECT HOW WE LIVE OUR LIVES.THE WORLD IS PLAGUED WITH THE QUESTION OF WHAT COMES AFTER THIS.WHEN WE ARE FACED WITH THE DEATH OF A FRIEND OR RELATIVE, WE ARE STUNNED WITH GRIEF.WE DON’T UNDERSTAND, HE WAS HERE AND NOW HE’S NOT,WHERE DID HE GO? WHERE DOES THE SPIRIT GO? THE TRUTH IS THAT OUR SOUL KNOWS OF IT’S ETERNAL NATURE.IF WE ASK OUR SOULS THIS QUESTION IN A REAL WAY, WE WILL FIND THAT WE KNOW THAT WE ARE MADE FROM THE STUFF OF ETERNITY....R.I.P LANGA KILEO


 The ability to feel sympathy for each other is one of the most beautiful traits that we possess as humans. The human condition is one of fundamental aloneness. When we reach out and share our sympathies with another human being in pain, we are offering a great kindness to the individual in pain. He knows that he is fundamentally alone but at least he knows that others care and are trying to understand.

Tuesday, June 4, 2013

Picha Jinsi Albert Mangwea Alivyoagwa Huko South Africa Wakishirikiana na Bushoke




Watanzania waishio nchini South Africa wamepata nafasi ya kuuaga mwili wa Albert Ngwea kuelekea katika safari ya mwisho wakiongozwa na Msanii Bushoke na Mtoto wa Mhe. Kingunge Ngombale mwiru, Kinjeketile wanaosimamia mipango ya kuaga mwili nchini Afrika kusini...

Mwili  wa  marehemu  utaletwa Tanzania  kesho  saa  nane.....

 


Watanzania waishio nchini South Africa, wamepata nafasi ya kuuaga mwili wa mwanamuziki ALBERT MANGWEA aliefia nchini humo … Hii hapa chini moja ya picha inayoonesha watu wakiaga mwili huo …
Ngwair-SA
Mwili wa Marehemu Ngwair utawasili kesho jijini Dar Es Salaam na kuagwa na fans, marafiki na ndugu katika viwanja vya leaders club, kinondoni kabla ya safari ya kwenda Morogoro, ambapo atazikwa huko karibu kabisa na kaburi la baba yake mzazi …
R.I.P Albert Mangweha.

Wednesday, May 8, 2013

HATIMA YA ZOMBE NA LWAKATARE NI LEO


Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Wilfred Lwakatare.  
MAHAKAMA ya Rufaa nchini leo inatarajia kutoa uamuzi rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi, dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi, Abdallah Zombe, wa kuifuta au kutoifuta rufaa iliyokatwa na DPP baada ya jicho la mahakama kuona hati ya kukatia rufaa ina dosari.
Sambamba na hilo, pia Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo inatarajia kutoa uamuzi wa kuifuta au kutoifuta kesi ya tuhuma za ugaidi za kutaka kumteka mhariri wa gazeti la Mwananchi, Denis Msaki, inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Wilfred Lwakatare na Ludovick Joseph.

Monday, May 6, 2013

KIINGEREZA CHAMUUMBUA DIAMOND...MASHABIKI WAMPA MAKAVU




Katika pitapita  instagram kuna picha ya msanii Diamond Platnumz alipost (hiyo hapo juu), na hapo wakatokea watu kukosoa kingereza alichotumia huku wengine wakionekana kutetea. JAMANI ENGLISH si Lugha yetu jamani. angalia hapa chini




HATIMAYE LADY JAYDEE AFUNGUKA TENA, ASEMA HATO-SURRENDER ,SOMA ALICHO ANDIKA TWEETTER