
Ellen Johnson-Sirleaf raisi wa wa Liberia na raisi wa kwanza mwanamke Afrika.


Cristina Fernandez raisi wa Argentina

Joyce Banda raisi wa Malawi

Atifete Jahjaga raisi wa Kosovo

Geun-hye Park raisi wa South Korea

Gloria Mascapagal-Arroyo aliwahi kuwa raisi wa Philippines toka 2001 mpaka 2010.

Mary McAleese alikuwa raisi wa Ireland kutoka mwaka 1997 mpaka 2011.

Michelle Bachelet aliwahi kuwa raisi wa Chile mwaka 2006 mpaka 2010

Tarja Halonen aliwahi kuwa rais wa Finland mwaka 2000 mpaka mwaka 2012

Chandrika Kumaratunga alikuwa raisi wa Sri Lanka kutoka mwaka 1994 mpaka 2005.
0 comments:
Post a Comment