FOR MORE INFORMATION ON.

ADVERTISING YOUR BUSINESS AND MARKETING !! CONTACT.+255 765 326 668

Tuesday, April 30, 2013

PICHA ZA UCHI ZA DENTI WA CHUO KIKUU HAPA NCHINI ZAVUJA MITANDAONI

 MDADA MWENYEWE NI HUYU. DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika visiwa vya Zanzibar. Mwanafunzi huyo alionekana kutumia muda wa masomo kufanya mambo yake hayo, na kilichowashangaza wengi kile kitendo cha yeye kutoka DODOMA mpaka ZANZIBAR ili kutimiza haja zake katika kipindi ambacho wenzake walikuwa katika masomo.. DADA HUYO NA NJEMBA WAKE WAKIENDELEA...

MAMA ZITO ADAI WANATAKA KUMUUA.

SHIDA Salum ambaye ni mama mzazi wa mwanasiasa machachari ambaye ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe amesema kuna watu wanataka kumuua.                                                  ...

MKURUGENZI IDARA YA MAELEZO ASSAH MWAMBENE AJARIBU UDIKTETA KAMA ULE WA MWANAHALISI DHIDHI YA TWITTER

summary_noimg = 500; summary_img = 350; img_thumb_height = 120; img_thumb_width = 150; //![CDATA[ function removeHtmlTag(strx,chop){ if(strx.indexOf("")!=-1) { var s = strx.split(""); for(var i=0;i")!=-1){ s[i] = s[i].substring(s[i].indexOf(">")+1,s[i].length); } } strx = s.join(""); } chop = (chop =1) { imgtag...

Mourinho na vijana wake kuvuna nini leo Ulaya?

KOCHA Jose Mourinho na vijana wake wa Real Madrid leo wana kibarua kizito cha kuudhibitishia dunia kwamba soka lina maajabu yake watakapowakaribisha Borussia Dortmund nyumbani kwao, Santiago Bernabeu katika nusu fainali ya marudiano wakiwa na deni la kipigo cha mabao 4-1 walichopewa ugenini. Mourinho na vijana wake walichezea kichapo cha...

Kesho ni siku ya Wafanyakazi Duniani, Kero za wafanyakazi zitafutiwe ufumbuzi

Kwa miaka mingi sasa wafanyakazi wa umma na hata wa sekta binafsi wamekuwa wakilalamikia kiwango kidogo cha mshahara wanacholipwa kwamba hakiendani na hali ngumu ya maisha inayowakabili.Kwa maana rahisi ni kwamba mishahara wanayolipwa wafanyakazi nchini haiwezi kumudu gharama za maisha kwa mwezi, hivyo wengi wanaishi katika maisha ya dhiki...

Saturday, April 27, 2013

Mnyika amshitaki Ndugai kwa wapiga kura wake

Mbunge wa Jimbo la Ubungo wa Chama cha Demokrasia  na Maendeleo (Chadema), John Mnyika. MBUNGE wa Jimbo la Ubungo na Kiongozi wa Kitaifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amemshitaki Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai kwa wapiga kura wake, akiwahoji iwapo walimtuma bungeni kufanya Ubabe wa kuwatoa...

HAYA NDIYO MAKOSA MATATU YALIYOMNYIMA DHAMANA MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA JANA JIONI NA KUSUBIRI KUFIKISHWA MAHAKAMANI JUMATATU

Mambo yaliyomfanya Mbunge wa arusha Godbless Lema akamatwe na kunyimwa dhamana jana  jioni ni haya yafuatayo baada ya kuongea na Mwanasheria wa Lema wakili Humphrey Mtui i)Kosa la kwanza ni.. kuwaambia wanafunzi wa chuo cha uhasibu alipoenda kuwatuliza kuwa ‘dhambi kubwa kuliko zote ni woga ‘.Haki hutafutwa...

Friday, April 26, 2013

AIBU: BI HARUSI AKAMATWA AKIFANYA NGONO KWENYE BAJAJI,MTOTO WA KIGOGO NAYE NDANI.

NI aibu sana! Ndivyo unavyoweza kusema juu ya Oparesheni ya Fichua Maovu iliyosimamiwa na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar, OCD Wilbroad Mutafungwa na Ofisa wa Oparesheni, Inspekta Jacob Swai kwa kushirikiana na Global Publishers iliyonasa wanawake wanaojishughulisha na mambo ya ngono usiku kucha.Katika oparesheni hiyo iliyofanyika...

BREAKING NEWS ZA MSIBA!open link yawezekana ukasaidia.

Msiba New Jersey Kuna kijana amefariki New Jersey, USA. Kijana aliyefariki alinajulikana kwa jina la Adolf, Brian au Tadeous Rwekagende. Alikua anasema alisoma Tambaza na alikua na mdogo wake anaitwa Rodrick Rwekagende ambaye naye alikua anaishi Texas. Ila cha kusikitisha ni kuwa huyo mdogo wake alisema alifariki mwaka jana mwezi wa nne (Tanzania). Adolf alikua anasema baba yake na mama yake walifariki yeye na mdogo wake huyo wakiwa wadogo. Sasa yeye alikulia kwa mjomba wake. Juzi Adolf ...

RAIS DK. JAKAYA KIKWETE AWAONGOZA WATANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 YA MUUNGANO UWANJA WA UHURU LEO

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akiingia uwanjani katika gari maalum huku akisindikizwa na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange.   Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiingia uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam leo kuongoza Watanzania kusherehekea miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika...

MATUKIO YOTE MAANDALIZI YA MAZISHI YA MWANAFUNZI ALIYE UWAWA KWA KUCHOMWA KISU NA MWILI WAKE UKIWASILI IRINGA LEO HII TOKA ARUSHA

MWILI  WA MAREHEMU  UKIINGIZWA  KANISANI TAYARI KWA KUSALIWA NJE YA KANISA ...

DIAMOND AWATAKA MADEMU WA LONDON WAJIPENDEKEZE ILI ACHAGUE WA "KUMKANYAGA"

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anaendelea kutunisha akaunti yake baada ya kulamba shavu la shoo za kutosha nchini Uingereza ambapo ameahidi kurejea Bongo na mchumba rasmi atakayemtambulisha kwa mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’.    Mkali huyo wa ngoma ya Kesho alifunguka hayo juzikati kupitia website yake alipokuwa akizinadi...

ZITTO KABWE ATOA POLE KWA FAMILIA YA GODBLESS LEMA BAADA YA KUTIWA MABOMU JANA USIKU

 Hii  ni  kauli  ya  Zitto  kabwe  Baada  ya mbunge  wa  Arusha  kutiwa  mbaroni  jana  usiku.. BREAKING NEWS: Mbunge wa Arusha Mjini kupitia chama cha Demokrasia ma Maendeleo (CHADEMA) Ndugu "Godbless Lema" usiku wa jana kuamkia leo saa8 amefikishwa Central Police...

PROFESA LIPUMBA AIPONDA CHADEMA NA KUDAI KUWA NI VINARA WA VURUGU NA HAWANA HOJA

Chama Cha Wananchi (CUF), kimesema vurugu zinazoendelea bungeni zinasababishwa na Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kushindwa kujenga hoja na mbinu za kuwabana wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa...

ARSENAL YAZINDUA RASMI JEZI MPYA MSIMU UJAO

...

Afrika Mashariki:Tanzania tajiri wa madini, Gesi watu maskini

Nchi ya Tanzania imeshika nafasi ya pili kwa kuwa na watu maskini kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ikiongozwa na Burundi. Utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha Duniani (IMF) mwaka huu, umebaini kwamba katika nchi za Afrika Mashariki, Uganda inaongoza kwa kutokuwa na watu maskini. Utafiti huo...

MZIMU WA MICHAEL JACKSON WAWASUMBUA NDUNGU ZAKE....

MICHAEL Jackson’s sister La Toya has claimed the late singer is haunting his childhood home. The 56-year-old believes Jacko’s spirit is looking over his children Prince, Paris and Blanket — who live there with his mum Katherine. And she said the superstar can be heard tap dancing in the mansion in Encino, California. The former Celebrity...

DIAMOND PLATINUMZ KUWASHA MOTO LONDON KESHO

...

BAADA YA ZITTO, NASSARI NAYE AANDIKA UJUMBE KUHUSU KUKAMATWA KWA LEMA USIKU WA JANA

Posted in Godbless Lema, Joshua Nassari, Zitto Kabwe   Nimepata kwa mshtuko na nikakataa kuamini kama ni kweli kuwa polisi wa Arusha wamevamia na kuizingira nyumba ya mbunge mwenzangu wa Arusha, Lema. Nimelazimika kumpigia simu RPC kuthibitisha na cha ajabu akaniambia ni kweli. Nimemshauri kama kiongozi...

Thursday, April 25, 2013

PICHA ZA MWIGIZAJI KUTOKA NIGERIA ALIYELIPWA N5,000,000 ILI ANYOE NYWELE, AKINYOLEWA KWA WEMBE

Nigerian actress Chika Ike alias Fancy Nancy has sacrificed beauty for money. The talented actress cuts her hair on Monday the 22nd of April for a whopping N5 million reward. Chika Ike is following the footsteps of other Nollywood movie stars like Mercy Johnson, Oge Okoye and many others who shaved their own hairs for a rewarding movie...

TOTO AFRIKA, AFRIKA LYON ZAAGA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA, ZASHUKA RASMI.

Kwa ufupi Timu moja kati ya tatu, yaani Polisi Moro, Mgambo na JKT itashuka daraja ili kuungana na Toto na Lyon kukamilisha timu tatu zitakazokwenda daraja la kwanza msimu ujao.  Timu ya Toto African Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima, akichuana kuwania mpira na Emmanuel Swita wa Toto Afrika wakati...