FOR MORE INFORMATION ON.

ADVERTISING YOUR BUSINESS AND MARKETING !! CONTACT.+255 765 326 668

Monday, October 7, 2013

Profesa Tibaijuka achangia sh. mil. 46 ujenzi kanisa Katoliki Kitunda WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amechanga sh. Mil. 46 kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Kitunda, Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Profesa Tibaijuka aliyekuwa mgeni rasmi katika harambee hiyo, Rais wa Awamu ya Tatu, Wiliam Benjamin Mkapa ambaye hakuwepo katika harambee hiyo alichangia sh. Mil. moja katika ya sh. mil. 95 zilizochangwa. Katika harambee hiyo ambayo jiwe la msingi liliwekwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu...