FOR MORE INFORMATION ON.

ADVERTISING YOUR BUSINESS AND MARKETING !! CONTACT.+255 765 326 668

Wednesday, May 8, 2013

HATIMA YA ZOMBE NA LWAKATARE NI LEO

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Wilfred Lwakatare.   MAHAKAMA ya Rufaa nchini leo inatarajia kutoa uamuzi rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi, dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi, Abdallah Zombe, wa kuifuta au kutoifuta rufaa iliyokatwa na DPP baada ya jicho la mahakama kuona hati ya kukatia rufaa...

Monday, May 6, 2013

KIINGEREZA CHAMUUMBUA DIAMOND...MASHABIKI WAMPA MAKAVU

Katika pitapita  instagram kuna picha ya msanii Diamond Platnumz alipost (hiyo hapo juu), na hapo wakatokea watu kukosoa kingereza alichotumia huku wengine wakionekana kutetea. JAMANI ENGLISH si Lugha yetu jamani. angalia hapa chini ...

HATIMAYE LADY JAYDEE AFUNGUKA TENA, ASEMA HATO-SURRENDER ,SOMA ALICHO ANDIKA TWEETTER

(function(d){ var js, id = 'facebook-jssdk'; if (d.getElementById(id)) {return;} js = d.createElement('script'); js.id = id; js.async = true; js.src = "//connect.facebook.net/en_US/all.js#xfbml=1"; d.getElementsByTagName('head')[0].appendChild(js); }(document)); ...

LADY JAYDEE AWAFANYA CLOUDS FM WAGOME KUPIGA NYIMBO YOYOTE YA BONGO FLEVA.....TIMES FM WASHANGILIA

 Akizungumza  katika kipindi cha Power Breakfast, Meneja wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba ameelezea kuwa Lady Jaydee  amekosea  kuelekeza  vita  kwao... Amedai  kuwa kama tatizo ni Bendi ya SkyLight basi apambane kuipiku bendi hiyo na si kugombana na watu wengine..... Akiongea  kwa  mbwembwe, Ruge  ameamuru  kutopugwa  wimbo  wowote  wa  bongo  ...

PICHA ZA TUKIO ZIMA LA MLIPUKO WA BOMU KATIKA KANISA KATOLIKI HUKO ARUSHA

  Mmoja wa majeruhi akifikishwa hospitali Hali ya eneo mlipuko ulipotokea Waumini na wananchi wengine wakiwa na shauku ya kujua kilichotokea Ulinzi umeimarishwa Viongozi wa Kanisa wakitoa taarifa ya kilichotokea kwa waandishi wa habari kabla ya Balozi wa Papa kuondolewa Kanisani hapo chini ya ulinzi mkali wa Polisi. Wanasualama Mkoa wa Arusha, wakijadiliana jambo katika eneo la tukio Meya wa Manispaa ya...

BREAKING NEWS: KANISA KATOLIKI LALIPULIWA NA BOMU JIJINI ARUSHA WAKATI MISA IKIENDELEA

Kanisa katoliki parokia  ya Olasiti ambalo leo hii lilikuwa linapandishwa hadhi na kuwa Parokia limelipuliwa na  kitu  kinachosemekana  kuwa  ni  bomu, watu wengi wamejeruhiwa  na  mtu  mmoja  inasemekana  amefariki  dunia…. …. Tukio  hilo  limetokea  wakati  Misa ikiwa ndio inaanza .Ilikuwa ni saa 5 kamili…Kabla Askofu hajaanzisha sala , mlipuko...

Saturday, May 4, 2013

Serikali yachukua uamuzi mgumu, yafuta matokeo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, akiwasilisha kauli ya serikali Bungeni Dodoma jana kuhusu taarifa ya awali ya Tume ya Taifa ya kuchunguza matokeo ya mtihani wa taifa wa Kidato cha nne wa mwaka 2012. Picha na Edwin Mjwahuzi  Dodoma/Dar. Serikali imechukua uamuzi mgumu na kuamua kuwafariji wanafunzi waliofeli mitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka 2012 baada ya kufuta matokeo hayo...

AJALI YAUA ZAIDI 5 WENGINE ZAIDI YA 20 WAJERUHIWA VIBAYA IRINGA JANA JIONI

 Moja kati ya ajali ya basi la Taqwa (picha na maktaba yetu)....................................................... Abiria zaidi watano waliokuwa wakisafiri na basi la kampuni ya Taqwa lenye namba za usajili T 273 CDR kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Malawi wamekufa papo hapo na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea jioni hii katika eneo la Nyololo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa. Akizungumza...

Wenger - Relegated QPR will be a threat

Arsène Wenger Arsène Wenger refuses to discount the threat of Queens Park Rangers in Saturday’s London derby. Harry Redknapp’s team were relegated along with Reading after drawing 0-0 at the Madejski Stadium last Sunday. But Manchester City, Chelsea and Tottenham all failed to win at Loftus Road this season and Wenger says players will need to be at their best to take three points. “In the Premier League,...

MWANAFUNZI WA CHUO CHA IFM -DAR AFARIKI DUNIA KWA KULISHWA SUMU NA MKE WA MTU

(function(d){ var js, id = 'facebook-jssdk'; if (d.getElementById(id)) {return;} js = d.createElement('script'); js.id = id; js.async = true; js.src = "//connect.facebook.net/en_US/all.js#xfbml=1"; d.getElementsByTagName('head')[0].appendChild(js); }(document)); Habari   zilizotufikia  toka  IFM- Dar es salaam  ni  kwamba  mwanafunzi  mmoja ambaye  bado  hatujafanikiwa ...

HILI NDILO KANISA HUKO UINGEREZA AMBALO WAMEAMUA KUSHARE NA WAISLAMU. CHEKI PICHA NA STORY HAPA

  A Scottish church has become the first in the UK to share its premises with Muslim worshippers. According to Daily Mail, St John’s Episcopal Church in Aberdeen now welcomes hundreds of Muslims praying five times a day in their building as the nearby mosque was so small that they were forced to worship outside. The minister of St John’s, Rev Isaac Poobalan, has handed over part of the church hall to Chief Imam Ahmed Megharbi and...

JB ATANGAZA ATAKAPOGOMBEA UBUNGE MWAKA 2015, SOMA ALICHOKISEMA HAPA

HATIMAYE nguli wa sanaa za maigizo Bongo, Jacob Stephen Mbura ‘JB’ amelianika jimbo atakalogombea ubunge mwaka 2015. JB aliyaongea hayo mwanzoni mwa wiki hii, jijini Dar es Salaam ambapo alisema macho yake yote yapo  Mkoa wa Dar es Salaam ambao una majimbo nane. JB: Niliposema natangaza kugombea ubunge mwaka 2015 wengi waliamini ni maneno tu, lakini nia yangu ni sahihi. Nitagombea na leo nasema jimbo langu lipo Mkoa wa Dar es...

mourinho kurudi tena chelsea

Mourinho arudi rasmi Chelsea Kocha Jose Mourinho LONDON, ENGLAND HATIMAYE kocha, Jose Mourinho, amekubali kuinoa tena Chelsea kwa mkataba mnono wa pauni 10 milioni na kumekuwa na taarifa kwamba atatua rasmi...

LISSU: CCM IMEINGILIA MCHAKATO WA KATIBA.

ADAI FEDHA ZILIZOOMBWA KWA AJILI YA TUME NI KUFURU.http://www.freemedia.co.tzMbunge wa Singida Mashariki na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu.   MSEMAJI Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu amedai kuwa matumizi ya fedha zilizoombwa kwa ajili ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ni kufuru. Lissu ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, alitoa...

Friday, May 3, 2013

AIBU: MREMBO ATUPWA JELA MIEZI 6 BAADA YA KUNASWA AKIJIUZA.....MCHUMBA WAKE AMWAGA MACHOZI HADHARANI

MREMBO Brandina Barthon (24), Jumatatu iliyopita alihukumiwa kwenda jela miezi 6 baada ya kupatikana na hatia kwenye kesi ya ukahaba iliyokuwa ikimkabili katika Mahakama ya Sokoine Drive (Jiji) jijini Dar. Brandina alisomewa hukumu hiyo na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, William Mutaki ambaye alisema kutokana na ushahidi uliothibitika, mahakama hiyo inamhukumu kwenda jela miezi 6, ili liwe fundisho kwa wengine. Hukumu hiyo ilimfanya...

Thursday, May 2, 2013

Mume mwenye wake 39, watoto 94

1 man (Ziona Chana, Indian), 39 wives, 94 children, 14-daughters-in-law & 33 grandchildren. He is head of the world’s biggest family – and says he is ‘blessed’  to have his 39 wives. Ziona Chana also has 94 children, 14-daughters-in-law and 33 grandchildren. They live in a 100-room, four storey house set amidst the hills of Baktwang village in the Indian state of Mizoram, where the wives sleep in giant communal do...