FOR MORE INFORMATION ON.

ADVERTISING YOUR BUSINESS AND MARKETING !! CONTACT.+255 765 326 668

Friday, March 29, 2013

HII NDIO RIPOTI YA MAKONGO HIGH SCHOOL KUHUSU KUFELI KWA DOGO JANJA NA UTORO ULIOKITHIRI

Baada ya taarifa kuenea kuhusu uwepo wa msanii Dogo Janja nchini Afrika Kusini kwa show alizopata zilizofanyika ndani ya wiki tatu, Uongozi wa shule anayosoma ya Makongo Sekondari, umetoa taarifa kuhusu mwenendo wake pamoja na matokeo aliyopata ya kidato cha pili.   Michael Alfred Mbaula ambae ni Afisa taaluma amesema “mahudhurio ya Dogo Janja darasani yalikua mazuri na alikua anashirikiana vizuri na wenzake kipindi...

BREAKING NEWZZ .... JENGO LA GHOROFA 15 LAANGUKA   Mabaki ya jengo hilo lililoporomoka jijini da es salaam amablo lipo barabara ya morogoro mtaa wa indiana. Taarifa lizizotufikia hivi punde zinasema kuna Jengo jipya lililokuwa linajengwa limeporomoka na kuangukia msikiti (kama inavyoonekana pichani) asubuhi hii mwendo wa saa mbili u nusu, katikati ya jiji la Dar es Salaam, inakadiriwa takribani watu 60 wamefariki...

YANGA KUZINDUA TAWI JIPYA MAREKANI

TUNAPENDA KUWATANGAZIA RASMI MASHABIKI, WADAU NA WAPENZI WOTE WA TIMU YETU YA SOCCER YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB MLIOPO MAREKANI KUWA TUNAZINDUA RASMI TAWI LETU HAPA MAREKANI LITAKALO JULIKANA KAMA YOUNG AFRICANS FAMILY USA. TUNAOMBA UKIPATA TANGAZO HILI MWARIFU NA MWENZIO. TAREHE: JUMAMOSI 03/30/2013 MAHALI: KILIMANJARO PASSION RESTAURANT ADDRESS: 2310 PRICE AVENUE, WHEATON,MD 20902 MUDA: 4:00 PM KWA MAWASILIANO: ALEX...

BREAKING: IDADI YA MIILI ILIYOPATIKANA NA MAJERUHI MPAKA SASA BAADA YA GOROFA KUPOROMOKA LEO DAR.

Hiyo taarifa hapo chini ni ya Meya wa Ilala Jerry Silaa...

Wednesday, March 13, 2013

MAKALA: MWIMBAJI NYOTA AMBAYE JARIBIO LA MAMA YAKE KUTOA MIMBA YAKE ILISHINDIKANA

MAKALA: MWIMBAJI NYOTA AMBAYE JARIBIO LA MAMA YAKE KUTOA MIMBA YAKE ILISHINDIKANA Fred Hammond.                    ©chan-lo Leo katika makala kadomole blog imeamua kukanyaga ardhi ya Marekani ambako kuna idadi kubwa ya waimbaji wa muziki wa injili ambao wanafahamika sana karibu dunia nzima na mmoja kati ya waimbaji hao ni Fred Hammond baba wa watoto wawili ambaye historia yake katika muziki...

makundi yaibuka mchakato wa kumchagua papa

Wednesday, March 13, 2013 Makundi yaibuka mchakato wa Papa Vatican City. Dirisha limefunguliwa tayari kwa hewa safi kuingia Vatican City. Hivi ndivyo unavyoweza kuuelezea mchakato wa kumpata Papa wa 226 wa Kanisa Katoliki, unaoanza leo. Mchakato huo unaanza rasmi saa 10.45 jioni kwa saa za Vatican (Saa 12.45 kwa saa za Afrika Mashariki) na utatanguliwa na ibada maalumu ya misa ya makadinali 115 wanaoshiriki katika uchaguzi huo. Tayari, ...

Monday, March 11, 2013

FILAMU YA "RAY OF HOPE" YA KWAKE PASTOR MYAMBA YACHUKUA TUZO MARA MBILI.

Moja kati ya filamu za Swahiba yangu Pastor Myamba "Ray of Hope" imeweza kujinyakulia tuzo ya "Best Local Language Swahili" kupitia African Magic Viewers Choice Awards.Pastor Myamba amekua ni msani wa kwanza Tanzania kutengeneza filamu za Christian zenye kuonyesha umuhimu wa kumpenda Yesu kristo.  Katika filamu hiyo waigizaji walio shiriki ni Pastor Myamba,Baby Madaha,Mzee Chilo,na Thea.Muongozaji wa Filamu hiyo Sameer Srivastava...

Neno La Leo: Nahofia, CCM Na Wapinzani Hawana Cha Kujifunza Kutoka Kenya!

    Ndugu zangu,Uchaguzi Mkuu wa Kenya umefuatiliwa kwa karibu sana na sisi Watanzania, ni pamoja na wanasiasa wa vyama vya siasa; Chama tawala, CCM na wapinzani. Lakini, nahofia, kuwa hakuna ambacho vyama hivi vyetu vya siasa vitajifunza kutoka Kenya. Ndio, pamoja na mapungufu ya hapa na pale, lakini Wakenya, kupitia Uchaguzi wao wametuachia somo kubwa sana; kuwa hata Afrika tunaweza kuendesha siasa za kistaarabu ikiwemo...

Thursday, March 7, 2013

ASKOFU BANDIA AJIPENYEZA MKUTANO WA MAKADINALI

Askofu bandia amefanikiwa kujipenyeza na kuingia kwenye mkutano wa makadinali unaoendelea mjini Vatican, kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa Papa mpya.Askofu huyo bandia, Ralph Napierski ambaye ni mzawa wa Ujerumani alifanikiwa kujipenyeza na kusalimiana kisha kupiga picha za kumbukumbu na baadhi ya makadinali waliopo kwenye mkutano huo bila kugundulika.Uzamiaji wake ambao ulileta mashaka kuhusu uimara wa usalama eneo hilo wanapokutana...