FOR MORE INFORMATION ON.

ADVERTISING YOUR BUSINESS AND MARKETING !! CONTACT.+255 765 326 668

Tuesday, November 12, 2013

      click on the link and know on how u can make money                                                 http://MonthlyJobPay.com/?id=KADOM...

Monday, October 7, 2013

Profesa Tibaijuka achangia sh. mil. 46 ujenzi kanisa Katoliki Kitunda WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amechanga sh. Mil. 46 kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Kitunda, Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Profesa Tibaijuka aliyekuwa mgeni rasmi katika harambee hiyo, Rais wa Awamu ya Tatu, Wiliam Benjamin Mkapa ambaye hakuwepo katika harambee hiyo alichangia sh. Mil. moja katika ya sh. mil. 95 zilizochangwa. Katika harambee hiyo ambayo jiwe la msingi liliwekwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu...

Friday, June 14, 2013

DEATH IS LIFE’S GREATEST MYSTERY…WHAT HAPPENS WHEN OUR SOUL LEAVES OUR BODY IS THE MOST IMPORTANT QUESTION IN THE WORLD.THE ANSWER WILL AFFECT HOW WE LIVE OUR LIVES.THE WORLD IS PLAGUED WITH THE QUESTION OF WHAT COMES AFTER THIS.WHEN WE ARE FACED WITH THE DEATH OF A FRIEND OR RELATIVE, WE ARE STUNNED WITH GRIEF.WE DON’T UNDERSTAND, HE WAS HERE AND NOW HE’S NOT,WHERE DID HE GO? WHERE DOES THE SPIRIT GO? THE TRUTH IS THAT OUR SOUL KNOWS OF IT’S ETERNAL NATURE.IF WE ASK OUR SOULS THIS QUESTION IN A REAL WAY, WE WILL FIND THAT WE KNOW THAT WE ARE MADE FROM THE STUFF OF ETERNITY....R.I.P LANGA KILEO

 The ability to feel sympathy for each other is one of the most beautiful traits that we possess as humans. The human condition is one of fundamental aloneness. When we reach out and share our sympathies with another human being in pain, we are offering a great kindness to the individual in pain. He knows that he is fundamentally alone but at least he knows that others care and are trying to understan...

Tuesday, June 4, 2013

Picha Jinsi Albert Mangwea Alivyoagwa Huko South Africa Wakishirikiana na Bushoke

Watanzania waishio nchini South Africa wamepata nafasi ya kuuaga mwili wa Albert Ngwea kuelekea katika safari ya mwisho wakiongozwa na Msanii Bushoke na Mtoto wa Mhe. Kingunge Ngombale mwiru, Kinjeketile wanaosimamia mipango ya kuaga mwili nchini Afrika kusini... Mwili  wa  marehemu  utaletwa Tanzania  kesho  saa  nane.....   ...

Wednesday, May 8, 2013

HATIMA YA ZOMBE NA LWAKATARE NI LEO

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Wilfred Lwakatare.   MAHAKAMA ya Rufaa nchini leo inatarajia kutoa uamuzi rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi, dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi, Abdallah Zombe, wa kuifuta au kutoifuta rufaa iliyokatwa na DPP baada ya jicho la mahakama kuona hati ya kukatia rufaa...

Monday, May 6, 2013

KIINGEREZA CHAMUUMBUA DIAMOND...MASHABIKI WAMPA MAKAVU

Katika pitapita  instagram kuna picha ya msanii Diamond Platnumz alipost (hiyo hapo juu), na hapo wakatokea watu kukosoa kingereza alichotumia huku wengine wakionekana kutetea. JAMANI ENGLISH si Lugha yetu jamani. angalia hapa chini ...

HATIMAYE LADY JAYDEE AFUNGUKA TENA, ASEMA HATO-SURRENDER ,SOMA ALICHO ANDIKA TWEETTER

(function(d){ var js, id = 'facebook-jssdk'; if (d.getElementById(id)) {return;} js = d.createElement('script'); js.id = id; js.async = true; js.src = "//connect.facebook.net/en_US/all.js#xfbml=1"; d.getElementsByTagName('head')[0].appendChild(js); }(document)); ...

LADY JAYDEE AWAFANYA CLOUDS FM WAGOME KUPIGA NYIMBO YOYOTE YA BONGO FLEVA.....TIMES FM WASHANGILIA

 Akizungumza  katika kipindi cha Power Breakfast, Meneja wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba ameelezea kuwa Lady Jaydee  amekosea  kuelekeza  vita  kwao... Amedai  kuwa kama tatizo ni Bendi ya SkyLight basi apambane kuipiku bendi hiyo na si kugombana na watu wengine..... Akiongea  kwa  mbwembwe, Ruge  ameamuru  kutopugwa  wimbo  wowote  wa  bongo  ...

PICHA ZA TUKIO ZIMA LA MLIPUKO WA BOMU KATIKA KANISA KATOLIKI HUKO ARUSHA

  Mmoja wa majeruhi akifikishwa hospitali Hali ya eneo mlipuko ulipotokea Waumini na wananchi wengine wakiwa na shauku ya kujua kilichotokea Ulinzi umeimarishwa Viongozi wa Kanisa wakitoa taarifa ya kilichotokea kwa waandishi wa habari kabla ya Balozi wa Papa kuondolewa Kanisani hapo chini ya ulinzi mkali wa Polisi. Wanasualama Mkoa wa Arusha, wakijadiliana jambo katika eneo la tukio Meya wa Manispaa ya...

BREAKING NEWS: KANISA KATOLIKI LALIPULIWA NA BOMU JIJINI ARUSHA WAKATI MISA IKIENDELEA

Kanisa katoliki parokia  ya Olasiti ambalo leo hii lilikuwa linapandishwa hadhi na kuwa Parokia limelipuliwa na  kitu  kinachosemekana  kuwa  ni  bomu, watu wengi wamejeruhiwa  na  mtu  mmoja  inasemekana  amefariki  dunia…. …. Tukio  hilo  limetokea  wakati  Misa ikiwa ndio inaanza .Ilikuwa ni saa 5 kamili…Kabla Askofu hajaanzisha sala , mlipuko...

Saturday, May 4, 2013

Serikali yachukua uamuzi mgumu, yafuta matokeo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, akiwasilisha kauli ya serikali Bungeni Dodoma jana kuhusu taarifa ya awali ya Tume ya Taifa ya kuchunguza matokeo ya mtihani wa taifa wa Kidato cha nne wa mwaka 2012. Picha na Edwin Mjwahuzi  Dodoma/Dar. Serikali imechukua uamuzi mgumu na kuamua kuwafariji wanafunzi waliofeli mitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka 2012 baada ya kufuta matokeo hayo...

AJALI YAUA ZAIDI 5 WENGINE ZAIDI YA 20 WAJERUHIWA VIBAYA IRINGA JANA JIONI

 Moja kati ya ajali ya basi la Taqwa (picha na maktaba yetu)....................................................... Abiria zaidi watano waliokuwa wakisafiri na basi la kampuni ya Taqwa lenye namba za usajili T 273 CDR kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Malawi wamekufa papo hapo na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea jioni hii katika eneo la Nyololo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa. Akizungumza...

Wenger - Relegated QPR will be a threat

Arsène Wenger Arsène Wenger refuses to discount the threat of Queens Park Rangers in Saturday’s London derby. Harry Redknapp’s team were relegated along with Reading after drawing 0-0 at the Madejski Stadium last Sunday. But Manchester City, Chelsea and Tottenham all failed to win at Loftus Road this season and Wenger says players will need to be at their best to take three points. “In the Premier League,...

MWANAFUNZI WA CHUO CHA IFM -DAR AFARIKI DUNIA KWA KULISHWA SUMU NA MKE WA MTU

(function(d){ var js, id = 'facebook-jssdk'; if (d.getElementById(id)) {return;} js = d.createElement('script'); js.id = id; js.async = true; js.src = "//connect.facebook.net/en_US/all.js#xfbml=1"; d.getElementsByTagName('head')[0].appendChild(js); }(document)); Habari   zilizotufikia  toka  IFM- Dar es salaam  ni  kwamba  mwanafunzi  mmoja ambaye  bado  hatujafanikiwa ...

HILI NDILO KANISA HUKO UINGEREZA AMBALO WAMEAMUA KUSHARE NA WAISLAMU. CHEKI PICHA NA STORY HAPA

  A Scottish church has become the first in the UK to share its premises with Muslim worshippers. According to Daily Mail, St John’s Episcopal Church in Aberdeen now welcomes hundreds of Muslims praying five times a day in their building as the nearby mosque was so small that they were forced to worship outside. The minister of St John’s, Rev Isaac Poobalan, has handed over part of the church hall to Chief Imam Ahmed Megharbi and...